Ana
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ana (kutoka Kiebrania Hannah חַנָּה, yaani "fadhili") anaheshimiwa kama mama wa Bikira Maria na bibi wa Yesu kadiri ya mapokeo ya Ukristo na Uislamu, ingawa hatajwi katika Biblia wala katika Kurani, isipokuwa katika kitabu cha karne ya 2 kinachoitwa Injili ya Yakobo[1].

Humo anatajwa pia mume wake Yohakimu.
Wote wawili wanaheshimiwa kama watakatifu katika madhehebu mengi ya Ukristo, hasa tarehe 26 Julai[2][3].
Remove ads
Picha
- Picha takatifu ya Kimisri, karne ya 8
- Ana akiwa na Maria na Kristo, Ujerumani, karne ya 15
- Masimulizi juu ya Mt. Ana, Ujerumani, karne ya 15
- Anna Selbdritt, Santiago de Compostela, Hispania
- Anna Selbdritt, Malines, Ubelgiji
- Anna Selbdritt, Huelgas, Hispania, imeathiriwa na picha takatifu za Kigiriki za aina "Hodegetria"
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads