Ana An Xinzhi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ana An Xinzhi
Remove ads

Ana An Xinzhi (1828 hivi - Liugongying, 11 Julai 1900) alikuwa bikira wa China aliyefia Ukristo pamoja na wenzake 3 kwa kukatwa kichwa wakati wa Uasi wa Mabondia[1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 11 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads