Andrea wa Krete

From Wikipedia, the free encyclopedia

Andrea wa Krete
Remove ads

Andrea wa Krete (kwa Kigiriki Ἀνδρέας Κρήτης; lakini pia Andrea wa Yerusalemu; Damasko, Siria, 650 hivi – Mutilene, 4 Julai 712 au 726 au 740), alikuwa askofu, mwanateolojia na mhubiri maarufu[1] tena mtunzi wa sala, nyimbo na tenzi fasaha sana ili kumsifu Mungu na Bikira Maria kama Mama wa Mungu asiye na doa na mpalizwa mbinguni [2][3].

Ukweli wa haraka Feast ...

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Julai[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads