Mutilene
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mutilene (kwa Kigiriki: Μυτιλήνη, Mytilíni) ni mji wa Ugiriki, makao makuu ya kisiwa cha Lesbo katika Bahari ya Aegean chenye eneo la Km² 1,633.
Mji kutoka baharini.

Una wakazi 29,656 (2011) wanaotegemea zaidi uvuvi na utalii.
Mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, aliabiri kutoka huko hadi Samos akielekea Yerusalemu[1].
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads