Mutilene

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mutilene
Remove ads

Mutilene (kwa Kigiriki: Μυτιλήνη, Mytilíni) ni mji wa Ugiriki, makao makuu ya kisiwa cha Lesbo katika Bahari ya Aegean chenye eneo la Km² 1,633.

Thumb
Mji kutoka baharini.
Thumb
Lesbo ilivyo.

Una wakazi 29,656 (2011) wanaotegemea zaidi uvuvi na utalii.

Mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, aliabiri kutoka huko hadi Samos akielekea Yerusalemu[1].

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads