Kindi Mrukaji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kindi Mrukaji
Remove ads

Kindi warukaji ni wanyama wadogo hadi wakubwa kiasi wa familia Anomaluridae. Wanatokea misitu ya Afrika kusini kwa Sahara. Kuna kindi warukaji huko Asia pia, lakini jamii hizi hazina mnasaba. Wale wa Afrika wana ngozi kati ya miguu ya mbele na ya nyuma, isipokuwa spishi moja, kindi mkia-magamba. Upande wa chini wa msingo wa mkia wao mrefu una mistari miwili ya magamba yenye ncha kali yanayomsaidia mnyama ili kupanda juu ya miti. Rangi yao ni kijivu, kahawia, kahawiachekundu au hudhurungi. Hula matunda, makokwa, maua na majani na pengine wadudu pia.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Spishi ya kabla ya historia

  • Kabirmys qarunensis (Mwisho wa Eocene ya Birket Qarun, Misri)

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads