Ansovini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ansovini wa Camerino (karne ya 9 - 13 Machi 868) anakumbukwa kama askofu wa Camerino (Italia ya Kati) kuanzia mwaka 850 hadi kifo chake [1].

Alipenda kuleta amani na kusaidia maskini[2].
Kipindi fulani baada ya upadrisho alikuwa ameishi kama mkaapweke.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads