Afia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Afia
Remove ads

Afia (pia: Apia) alikuwa mwanamke Mkristo wa karne ya 1 anayetajwa katika barua ya Mtume Paulo kwa Filemoni (Film 1:2), baadaye askofu wa Kolosai, ambaye labda Afia alikuwa mke wake [1].

Thumb
Mchoro mdogo wa kifodini cha Filemoni, Afia na Onesimo.

Inasemekana walifia dini pamoja.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Novemba[2]

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads