Apoloni na Filemoni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Apoloni na Filemoni
Remove ads

Apoloni na Filemoni (walifariki karibu na Antinoe, 307 hivi) walikuwa Wakristo wa Misri waliofia imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.

Thumb
Mchoro mdogo wa kifodini chao.

Apoloni alikuwa mmonaki shemasi, kumbe Filemoni alikuwa mwanamuziki aliyemtukana na kumdhihaki. Kwa kuona alivyojibiwa kila mara kwa upole na wema aliongokea Ukristo na kujitambulisha kwa hakimu. Hatimaye waliuawa pamoja [1].

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi[2][3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads