Apenini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Apenini
Remove ads

Apenini (kwa Kiitalia: Appennini) ni safu ya milima inayounda uti wa mgongo wa rasi ya Italia kwa urefu wa km 1,200 na upana hadi km 250.

Thumb
Hifadhi ya taifa ya Milima Sibilini (mikoa ya Marche na Umbria)
Thumb
Corno Grande.
Thumb
Monte Vettore.

Kwa kiasi kikubwa ni ya kijani, isipokuwa kwenye barafuto ya kilele kirefu zaidi, Corno Grande (mita 2,912 juu ya usawa wa bahari).[1].

Vilele vingine 20, hasa vya Apenini ya Kati, vina kimo cha walau mita 1,900.

Maelezo zaidi Jina, Urefu ...
Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads