Areopago

From Wikipedia, the free encyclopedia

Areopago
Remove ads

Areopago(kutoka Kigiriki Ἄρειος Πάγος) ni mwamba uliotokeza juu ya Akropoli ya Athens, mji mkuu wa Ugiriki.

Thumb
Areopago inavyoonekana kutoka Akropoli.
Thumb
Upande wa kulia unaonekana ubao ulioandikwa hotuba ya Mtume Paulo katika Areopago (Mdo 17).

Ilitumika kama mahakama[1] na kama mahali pa midahalo ya kifalsafa.

Kwa sababu hiyo Mtume Paulo alipotaka kuhubiri Ukristo alialikwa kwenye Areopago. Hotuba hiyo maarufu inapatikana katika Mdo 17.

"Areopago mamboleo" inamaanisha mitandao na vyombo vya habari ambavyo ni uwanja mpya wa kuwasiliana na kueneza mawazo kati ya watu wa nyakati hizi.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads