Arkanjelo Tadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Arkanjelo Tadini
Remove ads

Arkanjelo Tadini (kwa Kiitalia: Arcangelo; Verolanuova, Brescia, 12 Oktoba 1846 - Botticino Sera, 20 Mei 1912) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Italia.

Thumb
Mt. Arkanjelo alivyochorwa.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza kuwa mwenye heri tarehe 3 Oktoba 1999, na Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 26 Aprili 2009.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyoaga dunia[1].

Maisha

Baada ya upadrisho alioupata mwaka 1870 alishughulikia matatizo na haki vya wafanyakazi, na hatimaye alianzisha shirika la Masista Wafanyakazi wa Nyumba Takatifu ya Nazareti ambao wawajibike kwa ajili ya haki katika jamii[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads