Artema

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Artema (aliishi na kufariki Pozzuoli, Napoli, Italia, 25 Januari, mwishoni mwa karne ya 3 au mwanzoni mwa karne ya 4) alikuwa kijana Mkristo aliyeeneza imani yake kwa wanafunzi wenzake. Alipokataa kuacha juhudi hizo, alihukumiwa auawe na wenzake hao kwa kutumia kalamu zao[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Januari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads