Arthur Schawlow

From Wikipedia, the free encyclopedia

Arthur Schawlow
Remove ads

Arthur Leonard Schawlow (5 Mei 192128 Aprili 1999) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amefariki ...
Thumb

Kama mtoto na kijana aliishi na kusoma nchini Kanada kabla hajarudi Marekani. Hasa alichunguza mnururisho na kubuni leza alipofanya kazi pamoja na Charles Townes. Mwaka wa 1981, pamoja na Nicolaas Bloembergen na Kai Siegbahn alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.[1][2]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads