Ascension

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ascension
Remove ads

Ascension ni kisiwa chenye asili ya volikano kilichoko kusini kidogo kwa ikweta, katika Bahari ya Atlantiki, kilomita 1,600 hivi kutoka Afrika na 2,300 hivi kutoka Amerika Kusini (Brazil).

Thumb
Georgetown ni kitovu cha kisiwa.

Wakazi wote ni 806 tu (sensa ya mwaka 2016).

Kiutawala kiko chini ya koloni la Saint Helena[1], ambalo liko chini ya Ufalme wa Muungano.

Jina lilitokana na sherehe ya Kupaa Bwana, ambayo ndiyo siku ya mwaka 1501 kisiwa kilipoonekana kwa mara ya kwanza.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads