Asha Abdullah Juma

Mwanasiasa nchini Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Asha Abdullah Juma (alizaliwa tarehe 13 Novemba 1950) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Viti maalumu mwaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads