Atilano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Atilano
Remove ads

Atilano (Tarazona, 850 - Zamora, 5 Oktoba 919 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa Zamora, nchini Hispania, kuanzia mwaka 901 hadi 917.

Thumb
Picha yake.

Kabla ya hapo alikuwa mkaapweke na mmisionari pamoja na Froilano katika maeneo ambayo Wakristo waliyakomboa kutoka mikononi mwa Waislamu [1].

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 5 Oktoba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads