Autonomo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Autonomo
Remove ads

Autonomo (Italia, karne ya 3 - Bitinia, leo nchini Uturuki, 313) alikuwa Mkristo mmisionari aliyefanya utume mkubwa katika Asia Ndogo kama askofu wa kwanza wa Claudiopolis akauawa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya Dola la Roma[1].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Autonomo.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Septemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads