Baleni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Baleni ni kata ya Wilaya ya Mafia katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, yenye postikodi namba 61706.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 6,091 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,870 [2] walioishi humo.
Baleni iko kwenye kisiwa cha Mafia chenyewe takriban katikati ya kisiwa.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads