Bangui
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bangui ni mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Mji uko mwambaoni mwa mto Ubangi; ng'ambo ya mto uko mji wa Zongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Una wakazi 531,763[1]



Kuna viwanda vya nguo, vyakula, bira, viatu na sabuni. BiAshara ya nje inalenga wateja wa pamba, ubao, kahawa na katani.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads