Ubangi

Mto wa Afrika ya Kati na tawimto la Mto Kongo From Wikipedia, the free encyclopedia

Ubangi
Remove ads

Ubangi ni tawimto mkubwa wa mto Kongo na kati ya mito mirefu ya Afrika.

Ukweli wa haraka Mto wa Ubangi ...

Chanzo chake ni maungano ya mito Mbomou na Uele kwenye mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (J.A.K.) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (J.K.K.).

Mto waelekea kwanza magharibi halafu magharibi-kusini ukipitia mji mkuu Bangui.

Mwendo wote wa mto Ubangi ni mpaka wa kimataifa: kwanza kati ya J.A.K. na J.K.K., halafu kati ya J.K.K. na Jamhuri ya Kongo.

Ubangi waishia katika mto Kongo takriban kilomita 90 kusini kwa mji wa Mbandaka.

Remove ads

Tazama pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ubangi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads