Batuli (mwigizaji)

Mwigizaji wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Yobnesh Yusuph Hassan (maarufu kama Batuli au Nesh Adan.; alizaliwa Mwanza, 1 Februari 1986) ni mwigizaji kutoka Tanzania[1] Ameonekana katika filamu zaidi ya kumi ambazo zimehusisha waigizaji maarafu Steven Kanumba na Vincent Kigosi.

Batuli ana mtoto mmoja.[2]alianza kazi yake ya uigizaji mnamo mwaka 2000.

Filamu

Maelezo zaidi Movie title, Role ...

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads