Baudeli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Baudeli
Remove ads

Baudeli (pia: Baudile, Bausile, Basile, Baudilio, Baudelio, Boal, Boi, Baldiri; alifariki Nimes, Ufaransa wa leo) ni kati ya Wakristo waliouawa[1] kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma dhidi yao[2].

Thumb
Mt. Baudeli katika dirisha la Kanisa kuu la Nimes.

Ingawa hakuwa wa kwanza kuinjilisha eneo hilo la Galia, ndiye anayesifiwa zaidi kwa hilo. Inasemekana alikuwa shemasi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Mei[4]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads