Baudeli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Baudeli (pia: Baudile, Bausile, Basile, Baudilio, Baudelio, Boal, Boi, Baldiri; alifariki Nimes, Ufaransa wa leo) ni kati ya Wakristo waliouawa[1] kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma dhidi yao[2].
Ingawa hakuwa wa kwanza kuinjilisha eneo hilo la Galia, ndiye anayesifiwa zaidi kwa hilo. Inasemekana alikuwa shemasi.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads