Mkoa wa Bay

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Bay
Remove ads

Bay (Kisomali: Baay, Kiarabu: باي, Kiitalia: Bai) ni mkoa wa kiutawala (gobol) uliopo kusini mwa Somalia.[1]

Thumb
Ramani ya mkoa wa Bay

Maelezo ya jumla

Umepakana na mikoa mingine ya Somalia ambayo ni Bakool, Hiran, Lower Shebelle (Shabeellaha Hoose), Middle Juba (Jubbada Dhexe), na Gedo.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads