Besas

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Besas (alifariki 19 Machi 251 hivi) alikuwa askari Mkristo huko Aleksandria (Misri).

Akitetea Juliani na Eunus, waliokuwa wanatukanwa na kupigwa kwa imani yao, alipelekwa kwa hakimu na hatimaye, akidumu katika imani hiyo, akakatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Decius [1].

Habari zao na za wafiadini wengine kumi zimesimuliwa na barua ya Dionisi wa Aleksandria kwa Fabiani wa Antiokia.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 27 Februari[2] au 30 Oktoba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads