Betty Boniphace
Mwanamitindo wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Betty Boniphace (Omara) (alizaliwa Dar-es-Salaam, 1993) ni mrembo ambaye alishinda Misi wa dunia Tanzania tarehe 27 Septemba 2013, hivyo aliwakilisha nchi ya Tanzania katika Misi wa dunia mwaka 2013 huko Moscow, urusi.[1]
Betty alishinda taji la misi dunia Tanzania 2013 katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa Dar es Salaam katika usiku wa Ijumaa 27 Septemba 2013,[2].
Aliweza kuwakilisha Tanzania katika toleo la 62 Misi dunia ambayo ilichukua nafasi Novemba 9, 2013 katika ukumbi wa Crocus City huko Moscow, nchini Urusi.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads