Betty Kazimbaya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Betty Kazimbaya
Remove ads

"Betty Aloyce Kazimbaya" (amezaliwa tar. 4 Machi, 1973[1]) ni jina la mwigizaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Anajulikana zaidi kwa kucheza uhusika wa Mwanaidi kutoka katika mfululizo wa televisheni maarufu wa Siri ya Mtungi (2012)[2].

Thumb
Taswira ya Mwanaidi (uhusika umechezwa na Betty Kazimbaya)

Pia amecheza kama Mama Aisha (Samaki Mchangani—2014[3]), Mama Mwandenga (Going Bongo—2015), Mama Tumaini (Binti—2021[4]).

Mwaka wa 2021, amepata kuonekana katika tamthilia ya "Haikufuma" akicheza uhusika wa "Jalia."

Vilevile amewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Sanaa za Maonyesho Tanzania.[5]

Remove ads

Filamu alizocheza

Maelezo zaidi Na., Jina la filamu ...

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads