Betty Kazimbaya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
"Betty Aloyce Kazimbaya" (amezaliwa tar. 4 Machi, 1973[1]) ni jina la mwigizaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Anajulikana zaidi kwa kucheza uhusika wa Mwanaidi kutoka katika mfululizo wa televisheni maarufu wa Siri ya Mtungi (2012)[2].

Pia amecheza kama Mama Aisha (Samaki Mchangani—2014[3]), Mama Mwandenga (Going Bongo—2015), Mama Tumaini (Binti—2021[4]).
Mwaka wa 2021, amepata kuonekana katika tamthilia ya "Haikufuma" akicheza uhusika wa "Jalia."
Vilevile amewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Sanaa za Maonyesho Tanzania.[5]
Remove ads
Filamu alizocheza
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads