1973
mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 1973 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
 
◄ |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| ►
◄◄ |
◄ |
1969 |
1970 |
1971 |
1972 |
1973
| 1974
| 1975
| 1976
| 1977
| ►
| ►►
Matukio
- 23 Januari - Agano la Amani la kusitisha Vita ya Vietnam lilitiwa sahihi mjini Paris; hata hivyo mapigano yakaendelea hadi 1975
 - 24 Septemba - Nchi ya Guinea Bisau inatangaza kuwa huru kutoka Ureno.
 
Waliozaliwa
| Kalenda ya Gregori | 2025  MMXXV  | 
| Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 | 
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 | 
| Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 | 
| Kalenda ya Kiarmenia | 1474  ԹՎ ՌՆՀԴ  | 
| Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 | 
| Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 | 
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2080 – 2081 | 
| - Shaka Samvat | 1947 – 1948 | 
| - Kali Yuga | 5126 – 5127 | 
| Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722  甲辰 – 乙巳  | 
- 1 Aprili - Christian Finnegan, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 23 Aprili - Marcela Pezet, mwigizaji filamu na tamthilia kutoka Mexiko
 - 6 Mei - Nikola Grbić, mchezaji wa mpira kutoka Serbia
 - 30 Mei - Leigh Francis, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
 - 21 Juni - Juliette Lewis, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 22 Julai - Rufus Wainwright, mwanamuziki kutoka Marekani
 - 26 Julai - Kate Beckinsale, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
 - 14 Septemba - Nasir Jones, mwanamuziki kutoka Marekani
 - 13 Oktoba - Sven Constantin Voelpel, mtaalamu wa biashara na umeneja kutoka Ujerumani
 - 22 Oktoba - Ichiro Suzuki, mchezaji wa baseball kutoka Japani
 - 26 Oktoba - Seth MacFarlane, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 12 Novemba - Radha Mitchell, mwigizaji filamu kutoka Australia
 - 14 Novemba - Dana Snyder, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 27 Novemba - Lutricia McNea, mwanamuziki wa Marekani
 - 1 Desemba - Lombardo Boyar, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 11 Desemba - Mos Def, mwanamuziki wa Marekani
 - 13 Desemba - Holly Marie Combs, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 16 Desemba - Scott Storch, mwanamuziki kutoka Marekani
 
bila tarehe
- Anthony Doerr, mwandishi kutoka Marekani
 
Remove ads
Waliofariki
- 22 Januari - Lyndon B. Johnson, Rais wa Marekani (1963-1969)
 - 11 Februari - Johannes Hans Daniel Jensen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963
 - 23 Februari - Dickinson Richards, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956
 - 6 Machi - Pearl S. Buck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938
 - 8 Aprili - Pablo Picasso, mchoraji kutoka Hispania
 - 29 Mei - P. Ramlee, mwigizaji wa Malaysia
 - 10 Juni - William Inge, mwandishi Mmarekani (na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954
 - 8 Agosti - Vilhelm Moberg, mwandishi kutoka Uswidi
 - 12 Agosti - Walter Hess, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1949
 - 12 Agosti - Karl Ziegler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963
 - 16 Agosti - Selman Waksman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1952
 - 17 Agosti - Conrad Aiken, mwandishi kutoka Marekani
 - 2 Septemba - J.R.R. Tolkien, mtaalamu wa Kiingereza na mwandishi wa Bwana wa Mapete
 - 21 Septemba - William Plomer, mwandishi wa Afrika Kusini
 - 23 Septemba - Pablo Neruda, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1971
 - 26 Septemba - Samuel Flagg Bemis, mwanahistoria kutoka Marekani
 - 29 Septemba - W. H. Auden, mshairi kutoka Uingereza na Marekani
 - 6 Oktoba - Margaret Wilson, mwandishi kutoka Marekani
 - 16 Oktoba - Gene Krupa, mwanamuziki kutoka Marekani
 - 25 Oktoba - Abebe Bikila, mwanariadha wa Marathon kutoka Uhabeshi
 - 11 Novemba - Artturi Ilmari Virtanen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1945
 
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
