Bigwa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bigwa ni kata ya Wilaya ya Morogoro Mjini katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67111.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 16,623 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,149 waishio humo. [2]

Remove ads

Changamoto ya maji

Kata hii inakabiliwa na changamoto hii kwa sababu maji yanayopatikana hapo ni majitaka na si salama. Tatizo hili linaweza kutatuliwa pale tu ambapo watu wataamua kuwa makini na utupaji takataka ovyo katika vyanzo vilivyopo katika kata.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads