Bilecik

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bilecik
Remove ads

Bilecik ni mji mkuu wa Mkoa wa Bilecik katika nchi ya Uturuki.[1]

Thumb
Katikati ya jiji la Bilecik.
Thumb
Picha ya ramani kuonesha eneo la Bilecik

Ukiwa sambamba kabisa na na wilaya zake mji huu ni mashuhuri sana kwa kuwa hapa ndipo alipozaliwa Osmani Dynasty, ambao ni wanachama na waanzilishi wa Dola la Osmani.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads