Bisau

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bisau
Remove ads

Bisau ni mji mkuu wa nchi ya Guinea Bisau ukiwa na wakazi 387,909 [1]. Bisau ni mji mkubwa wa nchi na kitovu wa utawala, biashara na viwanda. Biashara ya nje inayopita bandari ya Bisau hasa ni ubao, karanga, mafuta ya mawese na mpira.

Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Thumb
Mahali pa Bisau nchini Guinea-Bisau
Thumb
Ikulu ya Bisau, Guinea

Bissau iko katika pwani ya Atlantiki kwenye delta ya mto Geba.

Mji ulianzishwa na Wareno mwaka 1687 kama boma, bandari na kituo cha biashara.

Remove ads

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads