Bizerte

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bizerte ni mji mkuu wa wilaya ya Bizerte huko Tunisia.

Mwaka 2014 ulikuwa na idadi ya wakazi takribani 142,966. Hivyo ni mji wa saba kwa ukubwa nchini Tunisia.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads