Bladolfo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bladolfo (alifariki Bobbio, Emilia-Romagna, leo nchini Italia, 630) alikuwa padri mmonaki, mwanafunzi wa Kolumbani[1][2].

Kwa ajili ya imani sahihi alipigwa kikatili na watu waliotumwa na mfalme Ariovaldo wa Walombardi aliyekuwa Mwario, lakini alinusurika kufa[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads