Bluetooth
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bluetooth ni teknolojia ya mawasiliano isiyo na waya iliyoundwa kwa ajili ya kubadilishana data kati ya vifaa mbalimbali kwa kutumia mawimbi ya redio[1].

Teknolojia hiyo inaruhusu vifaa kama simu za mikononi, kompyuta, vifaa vya sauti n.k. kushirikiana na kubadilishana habari bila kuwa na waya wa moja kwa moja [2]. Bluetooth hufanya kazi kwa kuanzisha kiungo cha binafsi (personal area network - PAN) kati ya vifaa vyote vinavyoshirikiana. Kwa mfano, unaweza kutumia Bluetooth kusambaza faili kutoka simu yako ya mkononi kwenda kompyuta au kusikiliza muziki kutoka simu yako kupitia spika za Bluetooth bila kuwa na waya.
Teknolojia ya Bluetooth imekuwa ya kawaida sana katika vifaa vya elektroniki leo na inaendelea kuboreshwa ili kutoa ufanisi zaidi na kasi ya uhamisho wa data.
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads