Brigham Young

From Wikipedia, the free encyclopedia

Brigham Young
Remove ads

Brigham Young (1 Juni 1801 - 29 Agosti 1877) alikuwa kiongozi wa Wamormoni aliyemfuata mwanzilishi Joseph Smith, Mdogo kuanzia mwaka wa 1847 hadi kifo chake.

Thumb
Brigham Young
Thumb
Mpango wa Wokovu kadiri ya Umormoni[1].

Hasa anajulikana kwa kuwaongoza Wamormoni katika safari yao ya kuhamia jimbo la Utah.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads