Brigham Young
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Brigham Young (1 Juni 1801 - 29 Agosti 1877) alikuwa kiongozi wa Wamormoni aliyemfuata mwanzilishi Joseph Smith, Mdogo kuanzia mwaka wa 1847 hadi kifo chake.


Hasa anajulikana kwa kuwaongoza Wamormoni katika safari yao ya kuhamia jimbo la Utah.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads