Bukombe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bukombe
Remove ads

Bukombe ni mji mdogo na makao makuu ya wilaya ya Bukombe katika Mkoa wa Geita (Tanzania).

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Ramani inayoonyesha eneo la Wilaya ya Bukombe ndani ya Mkoa wa Geita

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 18,302 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,706 waishio humo. [2] Msimbo wa posta ni 30501.[3]

Uchumi wa Bukombe unategemea hasa uchimbaji wa madini.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads