Bustani ya Jeevanjee

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bustani ya Jeevanjee
Remove ads

Bustani ya Jeevanjee ni bustani ya umma katika kitovu cha jiji la Nairobi, Kenya. Bustani ya Jeevanjee ilianzishwa na Alibhai Mulla Jeevanjee, mfanyabiashara mzaliwa wa Karachi, Pakistani aliyefika wakati wa ujenzi wa reli ya Uganda nchini Kenya. [1]

Thumb
Sanamu ya Mzee Jeevanjee katika bustani yenye jina lake

Hii ndio bustani ya pekee katika mji inayomilikiwa moja kwa moja na raia, baada ya kuchangiwa kwa watu maskini wa Nairobi kama eneo la kupumzika (mbuga ilikuwa mali binafsi inayomilikiwa kwa niaba ya watu wa Nairobi).

Remove ads

Pia tazama

Virejeleo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads