Calif Records

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Calif Records ni studio ya Kenya yenye makao yake katika mtaa wa California mjini Nairobi.

Ukweli wa haraka

Inajulikana kuwa msingi wa Genge, aina ya muziki iliyopendwa na vijana.

Ilianzishwa mwaka 2000 na mtendaji wa rekodi & mtayarishaji Clement "clemo" rapudo pamoja na rafiki yake wa utotoni Paul Nunda anayejulikana kama Juacali (kwa sasa ni msanii maarufu Kenya). Ni kati ya studio mbili za muziki zinazoongoza nchini Kenya, hiyo nyingine ikiwa Ogopa Djs.

Remove ads

Orodha ya wasanii

Orodha ya wasanii ambao wamejisajili katika Calif Records kwa wasifu wa muziki yao

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads