Pilipili

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pilipili
Remove ads

Pilipili ni tunda refu au la mviringo la mpilipili lenye rangi ya kijani, manjano, machungwa au nyekundu.

Thumb
Aina za pilipili kutoka India.

Pilipili huwa na tabia ya kuwasha walau kiasi.

Pilipili huwekwa kwenye supu, mboga mbalimbali, chipsi, sambusa n.k. ili kuongeza ladha au hamu ya chakula.

Picha

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pilipili kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads