Kaisari Kaligula

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaisari Kaligula
Remove ads

Kaisari Kaligula (jina kamili kwa Kilatini: Julius Caesar Augustus Germanicus[1], Caligula likiwa jina la kupachikwa) alikuwa mtawala wa Dola la Roma toka mwaka 37 hadi 41 BK.

Thumb
Sanamu ya marumaru ya Caligula huko Ny Carlsberg Glyptotek, Copenhagen, Denmark.

Mzao wa nasaba ya Julio-Klaudio, alizaliwa Anzio, (leo mkoani Lazio, Italia, tarehe 31 Agosti 12 na kuuawa tarehe 22 Januari 41.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads