Chamazi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chamazi ni kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 15116.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 203,327 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,313 waishio humo.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads