Chambani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chambani ni kata ya Wilaya ya Mkoani katika Mkoa wa Pemba Kusini, Tanzania, yenye postikodi namba 74117.
Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 7,460 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 5,938 waishio humo. [2]
Remove ads
Historia
Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads