Che Malone
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Che Fondoh Malone Junior, ni mchezaji wa soka kutoka Cameroon anayecheza kama beki wa kati katika klabu ya Simba S.C.[1][2]. Amejiunga na klabu hiyo tarehe 9 Julai mwaka 2023, na hadi sasa amecheza jumla ya mechi 5 mpaka sasa ana bao moja.
Kimataifa, ameichezea timu ya taifa ya Cameroon katika mechi 5 bila kufunga bao. Malone ni mchezaji mwenye uzoefu na mchango wake katika safu ya ulinzi ya Simba S.C. ni mkubwa[3].
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads