Chid Benz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Rashidi Abdallah Mohamed Makwiro[1] (anafahamika kwa jina la kisanii kama Chid Benz; amezaliwa 1985) ni rapa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania.

Ukweli wa haraka Jina la kuzaliwa, Pia anajulikana kama ...

Ndiye mwanzilishi na ndiye kiongozi wa kundi la wasanii wa Ilala almaarufu kama LAFamilia. Benz anasifika kwa kupata ushirika mwingi kwa sasa kuliko msanii yeyote yule wa Tanzania. Amewahi kushirikiana na Stara Thomas, Ray C., Lady Jay Dee, Tunda Man, Spark, Mwasiti, Mangwair, Maunda Zorro na wengine wengi tu.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads