Uroho

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uroho
Remove ads

Uroho ni hamu isiyoratibiwa ya kujipatia mali kuliko mtu anavyohitaji, hata kuwakosesha wengine.

Thumb
Mchoro wa Evelyn De Morgan kuhusu Ibada ya Mamona 1909.
Maelezo zaidi Vilema vikuu ...

Ni chanzo cha maovu mengi katika maisha ya jamii, kama vile unyonyaji, wizi, vita n.k.

Kwa sababu hiyo maadili ya Kanisa yanauhesabu kati ya vilema vikuu ambavyo vinasababisha dhambi nyingine.

Tena, kadiri ya mtume Paulo, uroho unachangia dhambi zote.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads