Majivuno

From Wikipedia, the free encyclopedia

Majivuno
Remove ads

Majivuno ni tabia ya mtu kujipongeza mno kutokana na sifa alizonazo[1][2][3].

Thumb
Majivuno yalivyochorwa na msanii asiyejulikana, Alegoria Vanitas.
Maelezo zaidi Vilema vikuu ...

Yanatokana na kiburi na kufikia hatua ya majigambo ya uongo ambayo ni chukizo kwa wengine.

Katika dini mbalimbali yanatazamwa kama aina ya kujiabudu badala ya Mungu.

Katika maadili ya Ukristo (Lk 14:11; 1Pet 5:5), majivuno ni mmojawapo kati ya mizizi ya dhambi (au vilema vikuu au vichwa vya dhambi) inayozaa dhambi nyingine nyingi (1Kor 5:6-7).

Jina la Kilatini (vanitas au vanagloria, kwa Kiingereza: vanity[4] au vainglory[5]) linahusisha tabia hiyo na ubatili.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads