Uzinifu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uzinifu
Remove ads

Uzinifu ni hamu isiyoratibiwa ya ashiki katika maisha ya binadamu.

Thumb
Mchoro wa Goya Mujeres riendo (Wanawake wakicheka).
Maelezo zaidi Vilema vikuu ...

Kwa kawaida watu wanakubaliana kwamba utafutaji wa ashiki unahitaji kuwa na mipaka, hasa usilenge ndugu wa damu.

Katika maadili unaorodheshwa kati ya vilema vikuu vilivyo mizizi ya dhambi nyingine, Biblia inavyoonyesha wazi katika habari ya mfalme Daudi kuzini na mke wa askari wake Uria Mhiti (2Sam 11-12).

Remove ads

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads