Chuini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chuini ni kata ya Wilaya ya Unguja Magharibi A katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Tanzania.
Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 16,076 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 3,320 waishio humo. [2]
Remove ads
Historia
Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads