Chuo Kikuu cha Afrika ya Mashariki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: University of East Africa) kilianzishwa tarehe 29 Juni 1963 [1] kikiwa kinahudumia nchi za Kenya, Tanzania na Uganda.
Mwaka 1970 kiligawanyishwa katika vyuo vitatu huru ambavyo ni Chuo Kikuu cha Nairobi, Chuo Kikuu cha Makerere na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads