Tai Mlanyoka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tai Mlanyoka
Remove ads

Tai walanyoka ni ndege mbua wakubwa kiasi wa nususfamilia Circaetinae katika familia Accipitridae. Tai wa Ufilipino ni labda mwana wa nusufamilia hii, kwa sababu chunguzi za ADN zimeonyesha mnasaba wake. Ndege hawa wana makucha marefu ili kukamata uwimbo na domo kubwa lenye ncha kwa kulabu ili kupapura nyama. Uwezo wao wa kuona kwa macho ni mzuri kabisa na hutambua uwimbo kwa mbali sana. Tai walanyoka hula nyoka hasa (isipokuwa tai pungu) lakini mijusi na mamalia wadogo pia na pengine ndege na wadudu wakubwa. Hujenga tago lao mtini ambola limefichwa vizuri kati ya majani. Jike hulitaga yai moja tu, au pengine mayai mawili.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads