Lugowi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lugowi (Cynodon spp.) (au ukoka) ni jina la spishi za nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Masuke kadhaa yanamea juu ya ubua kwa umbo wa vidole vya mkono.
Lugowi wa kawaidi unatoka Mashariki ya Kati kwa asili, lakini siku hizi hupandwa sana katika maeneo ya hewa ya joto. Spishi nyingine sita zinatokea Afrika kwa asili.
Remove ads
Spishi
- Cynodon aethiopicus, Lugowi wa Nakuru
- Cynodon barberi
- Cynodon coursii
- Cynodon dactylon, Lugowi wa Kawaida
- Cynodon incompletus
- Cynodon nlemfuensis, Lugowi wa Afrika au wa Muguga
- Cynodon plectostachyus, Lugowi Mkubwa au wa Naivasha
- Cynodon radiatus
- Cynodon transvaalensis, Lugowi Kusi
Picha
- Lugowi katika uwanja
- Masuke
- Maua
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads